6/recent/ticker-posts

CD zisizokuwa na usajili zachomwa moto

 Afisa leseni wa KOSOZA, Muumini Mwinyi Mzee akichoma moto CD zisizokuwa na usajili kupitia taasisi hiyo katika bonde la kikungwi wilaya ya kati Unguja.

 Mlinzi kutoka taasisi ya Kosoza Mussa Mwinyi Mussa akichochea moto huo kuhakikisha CD hizo zenye thamani ya milioni nne zinateketea.




Na Idara ya Habari (MAELEZO) Maelezo Zanzibar

Post a Comment

0 Comments