MGOMBEA Urais wa Zanzibar kwa chama cha AFP
Mhe:Saidi Soud Saidi, akizungumza na waandishi wa habari kutoka katika vyombo
mbali mbali vya habari, mara baada ya kupiga kura katika kituo chake cha
Kupigia kura Mgogoni Jimbo la Wawi Kisiwani Pemba.(Picha na Abdi Suleiman, PEMBA.)
Teknolojia : Serikali Yaombwa Kutazama Upya Ghrama za Usajili na Kodi kwa
Vyombo vya Habari vya Mtandaoni
-
Serikali imeombwa kupunguza gharama za usajili wa vyombo vya habari
mtandaoni (Online Media) ili kutoa fursa kwa vijana wengi zaidi kujiajiri.
Ombi hil...
3 hours ago
0 Comments