MGOMBEA Urais wa Zanzibar kwa chama cha AFP
Mhe:Saidi Soud Saidi, akizungumza na waandishi wa habari kutoka katika vyombo
mbali mbali vya habari, mara baada ya kupiga kura katika kituo chake cha
Kupigia kura Mgogoni Jimbo la Wawi Kisiwani Pemba.(Picha na Abdi Suleiman, PEMBA.)
CAMARTEC YABUNI TEKNOLOJIA MPYA KUINUA SEKTA YA KILIMO NA UFUGAJI
-
Kituo cha Zana za Kilimo na Teknolojia Vijijini (CAMARTEC) kimeanzisha
mbinu mpya za mafunzo kwa wakulima kuhusu usindikaji wa mazao, ikiwemo
mwani korosho...
7 hours ago
0 Comments