Wananchi wa eneo la mtoni barabara ya bububu wakiangalia gari yenye namba za usaji Z 284 BD ,iliokuwa
ikitokea mjini kuelekea bububu kupata
ajali wakati ikijaribu kuzipita gari
wakati ikiwa katika mwendo na kusababisha ajali ya kuigonga gari yenye
namba za Usajili Z 626BV, ikitokea Bububu kuelekea mjini, katika ajali hiyo
hakuna mtu aliyejeruhiwa
ADEM YAKUTANA NA WADAU WA KIMATAIFA KUIMARISHA UONGOZI WA SHULE ZA SEKONDARI
-
Wakala wa Maendeleo ya Uongozi wa Elimu (ADEM) leo imepokea ujumbe wa wadau
wa maendeleo kutoka taasisi mbalimbali ikiwemo Mastercard Foundation,
Education...
8 hours ago
0 Comments