Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Mhe. Maalim Seif Sharif Hamad, amekutana na kufanya mazungumzo na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania anayemaliza muda wake Dkt. Jakaya Kikwete. Mazungumzo hayo yaliyochukua muda wa dakika 50 yalifanyika Ikulu ya Rais Jijini Dar es Salaam kuanzia saa 4:24 asubuhi na kumaliza saa 5:14. (Picha na Salmin Said, OMKR)
INADES-Formation Tanzania yazindua kitalu cha miti chenye lengo la
kuzalisha miche 500,000 ifikapo 2027
-
Na Mwandishi wetu
SHIRIKA la INADES-Formation Tanzania limezindua kitalu cha miti chenye
lengo la kuzalisha miche 500,000 ifikapo mwaka 2027, ikiwa ni se...
27 minutes ago
0 Comments