LICHA ya Serikali kupiga marufuku utumiaji wa
misumeno ya moto (Chensoo)na kuweka mikakati madhubuti juu ya kuiteketeza
misumeno hiyo, lakini bado baadhi ya wananchi wamekuwa wakiitumia vibaya kwa
kuteketeza miti kiholela, pichani wananchi wakipasua mbao za mnazi baada ya
kuukata mti hio huko Gando Wilaya ya Wete.(Picha
na Abdi Suleiman, PEMBA.)
WAZIRI MKUU AONGOZA KIKAO CHA KUJADILI MAPENDEKEZO YA YA KUFANYA MABORESHO
YA SHERIA YA MAPATO YA BAADHI TA MIFUKO
-
Waziri Mkuu, Dkt. Mwigulu Nchemba leo Machi 11, 2026 ameongoza Kikao cha
kujadili Mapendekezo ya kufanya Maboresho ya Sheria ya Mapato ya baadhi ya
Mifuko ...
18 minutes ago
0 Comments