LICHA ya Serikali kupiga marufuku utumiaji wa
misumeno ya moto (Chensoo)na kuweka mikakati madhubuti juu ya kuiteketeza
misumeno hiyo, lakini bado baadhi ya wananchi wamekuwa wakiitumia vibaya kwa
kuteketeza miti kiholela, pichani wananchi wakipasua mbao za mnazi baada ya
kuukata mti hio huko Gando Wilaya ya Wete.(Picha
na Abdi Suleiman, PEMBA.)
MUUNGANO WAZIDI KUIMARISHA USHIRIKIANO NA KUIBUA VIPAJI VYA MICHEZO
-
Wachezaji wa Timu ya Mpira wa Pete (Netiboli) ya Ofisi ya Makamu wa Rais
Muungano na (Mazingira) wakiwa katika picha ya pamoja muda mfupi baada ya
kuwasil...
9 hours ago
0 Comments