BAADA ya hali ya kisiasa kutulia kisiwani Pemba,
wavuvi wameanza kwenda baharini nao wachuuzi wa samaki wamekuwa wakifika
katika masoko mbali mbali kwa ajili ya kununua samaki, huku mvua kubwa
ikiendelea kunyesha, Pichani wachuuzi wakiwa katika mnada wa samaki katika
bandari ya Msuka Wilaya ya Micheweni.(Picha
na Abdi Suleiman, PEMBA.)
WAZABUNI RUVUMA, IRINGA NA NJOMBE WAJENGEWA UWEZO MATUMIZI YA MODULI YA
RUFAA
-
Na Mwandishi Wetu, Songea na Iringa
Mamlaka ya Rufani ya Zabuni za Umma (PPAA) imewakutanisha wazabuni na
Taasisi Nunuzi wa mikoa ya Ruvuma, Iringa na Nj...
1 hour ago

0 Comments