6/recent/ticker-posts

Naibu Waziri wa Afya atembelea wagonjwa wa maradhi ya kipindupindu kituo cha afya Karakana

 Baadhi ya Wagonja walifikishwa Hospitalini hapo kwa ajili ya kupatiwa matibabu  baada ya kupata maradhi ya matumbo ya kuharisha (kipindupindu)
 Mwandishi wa Habari Rahma Suleiman akichukuwa maelezo kwa Mgonjwa aliyefika katika kituo hicho mara baada ya kupata hujambo

  Naibu Waziri wa Afya  Mahmoudu Thabiti Kombo akionyesha ramani ya maeneo yanayoathiriwa zaidi na ugonjwa wa maradhi ya matumbo

Naibu Waziri wa Afya Mahmoud Thabiti Kombo akinawa mikono, maji aliyotiwa dawa mara baada ya kuwatembelea wagonjwa hao  ili kujikinga na maradhi hayo.
  Naibu Waziri wa  Afya  Mahmoud Thabit  Kombo akipata maelezo kwa Dokt. Dhamana  Fadhili Ramadhan  wakati alipotembelea wagonjwa wa maradhi ya kuharisha (kipindupindu) katika kituo cha Afya kiliopo Sheha ya Karakana
Naibu Waziri wa Afya akiwapa maelezo baadhi ya waandishi wa Habari juu ya kujikinga na maradhi ya matumbo ya kuharisha (kipindupindu) mara baada ya kutembelea kituo hicho.  (PICHA NA MIZA OTHMAN MAELEZO ZANZIBAR)

Post a Comment

1 Comments

  1. ndio hospital hiyo?, vitanda vya kamba?, ndo maradhi yatakwisha hivyo? halafu dado munataka lazima nchi muongoze nyinyi tu.

    ReplyDelete