6/recent/ticker-posts

PBZ tawi la Pemba latoa msaada skuli ya sekondari Kengeja

 MENEJA wa Benki ya watu wa Zanzibar Tawi la Pemba, Haji Machano mwenye tai, akishuhudia zoezi la uteremshaji wa nondo katika skuli ya sekondari Kengeja, ikiwa ni msaada uliotolewa na Benk hiyo.(Picha na Abdi Suleiman, PEMBA.)
 MENEJA wa Benki ya watu wa Zanzibar Tawi la Pemba, Haji Machano, wa kwanza kushoto akimkabidhi nondo 135 zenye thamani ya zaidi ya Milioni 2,994,000/= mwalimu Mkuu wa skuli ya Kengeja Sekondari Mohammed Ahmed, kwa ajili ya kumwaga zege kwa hatua ya awali ya ujenzi wa jengo la ghorofa la skuli hiyo.(Picha na Abdi Suleiman, PEMBA.)
 WANAFUNZI wa skuli ya sekondari kengeja wakizitia ndani ya jingo nondo walizopatiwa msaada na Benki ya watu wa Zanzibar Tawi la Pemba, kwa ajili ya ujenzi wa skuli yao ya ghorofa.(Picha na Abdi Suleiman, PEMBA.)
ENEO ambalo linatarajiwa kujengwa jengo la ghorofa la vyumba saba vya skuli ya kengeja sekondari, ambalo kamati ya ujenzi wa skuli hiyo imekuwa ikihangaika kuipatia misaada likiwa wazi kama linavyoonekana katika Picha.(Picha na Abdi Suleiman, PEMBA.)

Post a Comment

0 Comments