Tanzania Freestyle football championship (TFFC2016) ambalo ni shindano la kutafuta/kusaka vipaji vya kuchezea mpira yaani freestyle soccer/Freestyle Football wengi hupenda kuita hivyo ambalo linatarajiwa kuendeshwa kama vile mashindano mengine ya kutafuta vipaji kwa njia mbalimbali ikiwemo ile ya TV show.
Waweza wasiliana nao kupitia anuani hapa +255 654 955 825/ +255 655 049 647
EWURA YATOA ELIMU YA UVUNAJI WA MAJI YA MVUA KWA WENYE ULEMAVU SINGIDA
-
*Mhandisi wa Maji na Usafi wa Mazingira wa EWURA Kanda ya Kati, Saidi
Mwangalo,akiwasilisha mada kuhusu uvunaji na uhifadhi wa maji ya mvua kwa
wadau mba...
21 minutes ago
0 Comments