Wanafunzi wa Kidatu cha Nne wa Skuli ya Sekondari ya Hailisalasi wakiwa nje ya
chumba mitihani baada ya kumaliza kufanya mtihani wao asubuhi wa historia
wakitafakari na kukumbushana hali ya mtahani huo wakisubiri kurudi madarasani
kuendelea na mitihani yao Taifa ya Kidatu cha Nne
ADEM YAKUTANA NA WADAU WA KIMATAIFA KUIMARISHA UONGOZI WA SHULE ZA SEKONDARI
-
Wakala wa Maendeleo ya Uongozi wa Elimu (ADEM) leo imepokea ujumbe wa wadau
wa maendeleo kutoka taasisi mbalimbali ikiwemo Mastercard Foundation,
Education...
10 hours ago
0 Comments