Wananchi wametakiwa kuacha ushabiki na jazba ili kuwaondolea gharama za matatizo wao wenyewe na familia zao. Wito huo umetolewa na Kamishna wa Polisi zanzibar Hamdan Omar Makame alipokuwa akizungumza na waandishi wa habari huko makao makuu ya Polisi zanzibar.
KATIBU TAWALA SINGIDA 'AWAFUNDA' WATUMISHI WA TARURA
-
Katibu Tawala wa Mkoa wa Singida, Dkt. Fatuma Mganga amewataka watumishi
wa Wakala ya Barabara za Vijijini na Mijini (TARURA) mkoani Singida
kutambua ku...
36 seconds ago

0 Comments