WATENDAJI waliowengi wamekuwa wasugu
kuzungumza na waandishi wa habari, lakini kwa waliopo Kituo cha Huduma za Sheria
Zanzibar ZLSC tawi la Pemba, wamekuwa wakiwakaribisha waandishi ambapo Afisa
Mipango wa Kituo hicho Khalfan Amour Mohamed, akizungumza na waandishi wa habri
kutoka kituo cha ZENJ FM kulia Radhia Abdalla na Habiba Zarali kutoka Gazeti la
Zanzibar leo, (Picha na Haji Nassor,
Pemba).
WAZIRI MCHENGERWA KUSHIRIKI MKUTANO WA DUNIA KUHUSU TIBA ASILI, KUFANYA
MAZUNGUMZO NA MAWAZIRI WA AFYA
-
Na John Mapepele, New Delhi
Waziri wa Afya wa Tanzania, Mhe. Mohamed Omary Mchengerwa amewasili New
Delhi, nchini India, tayari leo kushiriki Mkutano wa p...
19 minutes ago
0 Comments