WATENDAJI waliowengi wamekuwa wasugu
kuzungumza na waandishi wa habari, lakini kwa waliopo Kituo cha Huduma za Sheria
Zanzibar ZLSC tawi la Pemba, wamekuwa wakiwakaribisha waandishi ambapo Afisa
Mipango wa Kituo hicho Khalfan Amour Mohamed, akizungumza na waandishi wa habri
kutoka kituo cha ZENJ FM kulia Radhia Abdalla na Habiba Zarali kutoka Gazeti la
Zanzibar leo, (Picha na Haji Nassor,
Pemba).
VODACOM TANZANIA FOUNDATION YAPELEKA HUDUMA ZA MAKAMBI YA AFYA BURE KWA
WAKAZI WA MOROGORO.
-
Morogoro, Tanzania, 10 March 2026: Miaka ya hivi karibuni, magonjwa
yasiyoambukiza yanaendelea kuwa changamoto kubwa kwa afya ya jamii nchini
Tanzania. M...
1 hour ago
0 Comments