WATENDAJI waliowengi wamekuwa wasugu
kuzungumza na waandishi wa habari, lakini kwa waliopo Kituo cha Huduma za Sheria
Zanzibar ZLSC tawi la Pemba, wamekuwa wakiwakaribisha waandishi ambapo Afisa
Mipango wa Kituo hicho Khalfan Amour Mohamed, akizungumza na waandishi wa habri
kutoka kituo cha ZENJ FM kulia Radhia Abdalla na Habiba Zarali kutoka Gazeti la
Zanzibar leo, (Picha na Haji Nassor,
Pemba).
Wanafunzi 40 Mabalozi wa Utalii Watembelea Ngorongoro na Serengeti
-
Na Pamela Mollel,Babati
Wanafunzi 40 kutoka shule nne zilizopo ndani ya Hifadhi ya Jamii ya
Wanyamapori ya Burunge (Burunge WMA) wilayani Babati, mkoa wa M...
8 hours ago
0 Comments