6/recent/ticker-posts

Zoezi la Utanuzi wa Barabara ya Fuoni Ukiendelea na Wananchi kuvunja Nyumba zao Zilizozidi kupisha Utanuzi wa Barabara Hiyo Mpya.

 Jengo la gorofa mbili linalotakiwa kubomolewa sehemu ya mbele ya jengo hilo baada ya kuwekwa alama kuvunja ili kupisha utanuzi wa barabara hiyo ya fuoni, likiwa tayari mmiliki wa jengo hilo tayari ameshaaza kubomoa sehemu ya mbele ya jengo hilo kwa kutoa madirisha na mageti. 
Alama inayotakiwa kuvunjwa ili kupisha utanuzi wa barabara hiyo ikiwa imewekwa alama ya kuvunjwa sehemu hiyo.










 Sehemu ya barabara hiyo tayari imeshatiwa kifusi. 
Hali ya maadhari ya eneo hilo la ujenzi wa barabara mpya likiwa safi baada ya kukatwa kwa miti na nyumba zilizojengwa kando ya barabara hiyo. 
Wananchi wakiangali zoezi la kuondoa visiki vya miembe baada ya miti hiyo kukatwa ili kupisha zoezi hilo. 

 Hali ya usafi na kuaza kuweka kifusi katika ujenzi wa barabara hiyo tayari umeshaaza. 
Burdoza likingowa kiziki cha muembe eneo la fuoni ili kupisha utanuzi wa barabara hiyo.

Post a Comment

0 Comments