JAFO: WATUMISHI KISARAWE FANYENI KAZI KWA WELEDI NA USHIRIKIANO
-
*Mbunge wa Jimbo la Kisarawe, Dkt. Selemani Jafo,akizungumza na watumishi
wa Halmashauri ya Wilaya ya Kisarawe wakati wa ziara yake ya kuwashukuru
kw...
30 minutes ago
1 Comments
Jamaniii eee eee masoko ya aina hii jamaani yapigwe marufuku, aibu, maradhi, uchafu. Leo Zanzibar kuna kipindindu, tunatafuta sababu, tumeziweya kusema kipindupindu kinatokana na maji, lakini sio kweli, ukweli ni kwamba kipindupindu Cha mara hii kimekuja dry season, source nini, mimi nahisi masoko ya aina hii kwa kiasi kikubwa yanachangia kukuletea maradhi mbali mbali, tujurekebusheni jamaani
ReplyDelete