Uganda na Tanzania kuondoa vikwazo vyote vya biashara ifikapo Juni
-
Dar es Salaam. Uganda na Tanzania zimekubaliana kuondoa vikwazo vyote vya
biashara kati ya nchi hizo mbili ifikapo mwezi Juni mwaka huu, hatua
inayoleng...
6 minutes ago
1 Comments
Jamaniii eee eee masoko ya aina hii jamaani yapigwe marufuku, aibu, maradhi, uchafu. Leo Zanzibar kuna kipindindu, tunatafuta sababu, tumeziweya kusema kipindupindu kinatokana na maji, lakini sio kweli, ukweli ni kwamba kipindupindu Cha mara hii kimekuja dry season, source nini, mimi nahisi masoko ya aina hii kwa kiasi kikubwa yanachangia kukuletea maradhi mbali mbali, tujurekebusheni jamaani
ReplyDelete