Askari wa Kikosi cha Zimamoto Zanzibar wakiwa katika jitihada za kuudhibiti na kuuzima Moto uliosababishwa na hitilafu ya Umeme katika moja ya Transfoma ya Shirika la Umeme Zanzibar katika eneo la Kariakoo na kufanikiwa kuuzima moto huo bila ya kuleta madhara kwa wananchi wa eneo hilo. na kusababisha hasara kwa shirika la ZECO.
Hadithi Nzuri Yaangazia Vijana wa Tanzania Wasiopewa Msaada wa Kutosha,
Ikitoa Wito kwa Wahisani Kujitokeza Zaidi
-
Taasisi inayojihusisha na harakati za kijamii inayojulikana kama Hadithi
Nzuri, kwa kushirikiana na kampuni ya WeMedia, imetekeleza tukio la WE GIVE
BACK...
16 minutes ago
0 Comments