Askari wa Usalama Barabarani Mjini Zanzibar akiongoza magari katika makutano ya barabara ya Malindi na Darajani barabara hiyo huzidiwa na magari na kusababisha msongomano wa magari na kufanya msongamano huo kufikia hadi marikiti kuu ya darajani wakati wa mchana.
MBUNGE LIWAKA AWAHAKIKISHIA MAMALISHE KUTATULIWA CHANGAMOTO ZA MAJI, MASOKO
NA MIKOPO
-
Mbunge wa Jimbo la Nachingwea, Fadhili Liwaka,akisonga ugali kwenye moja ya
masoko ambayo mama nitilie wanaojihusisha na uuzaji wa vyakula.
Mbunge wa Jimbo...
20 minutes ago
0 Comments