Askari wa Usalama Barabarani Mjini Zanzibar akiongoza magari katika makutano ya barabara ya Malindi na Darajani barabara hiyo huzidiwa na magari na kusababisha msongomano wa magari na kufanya msongamano huo kufikia hadi marikiti kuu ya darajani wakati wa mchana.
RAIS DKT. MWINYI: SMZ ITAENDELEA KUSHIRIKIANA NA TTCL KUIMARISHA
MAWASILIANO ZANZIBAR
-
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe.Dkt. Hussein Ali
Mwinyi, amekutana na Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Shirika la
Mawasili...
4 minutes ago
0 Comments