Muonekano wa Mji Mkongwe wa Zanzibar kama unavyoonekana picha iliopigwa kwa juu wakati nikiwa katika safari zangu nikirudi Zenj hivi karibuni nimebahatika kuipiga picha hii nikiwa katika ndege. Ni mji uliokuwa na vivutio vingi vya historia ya Zanzibar.
Wamachinga Dar wakemea uvunjifu wa amani
-
wadai suluhu ya changamoto haitatuliwi kwa uvunjifu wa amani.
Na Mwandishi Wetu
Umoja wa wa Wajasiriamali wa Mkoa wa Dar es Salaam umewataka Watanzania...
6 hours ago
0 Comments