Muonekano wa Mji Mkongwe wa Zanzibar kama unavyoonekana picha iliopigwa kwa juu wakati nikiwa katika safari zangu nikirudi Zenj hivi karibuni nimebahatika kuipiga picha hii nikiwa katika ndege. Ni mji uliokuwa na vivutio vingi vya historia ya Zanzibar.
Airtel Tanzania Inathibitisha Dhamira yake ya Kuunganisha na Kukuza
Ujumuishaji wa Kifedha Wakati wa Iftari ya Ramadan
-
Dar es Salaam, Machi 9, 2026.
KAMPUNI ya Airtel Tanzania Jumatatu iliandaa hafla maalumu ya Iftari ya
Ramadan jijini Dar es Salaam, ikiwakutanisha viong...
18 hours ago
0 Comments