Wananchi wakiwa katika marikiti kuu ya darajani wakiangalia samaki aina ya Chewa aliyevuliwa
katika bahari ya Nungwi Zanzibar akiwa katika marikiti hiyo baada ya kuuzwa kwa shilingi laki sita katika mnada huo anakaribiwa kuwa na uzito wa kilo 85. Akichunwa ngozi kwa ali ya kuuzwa kwa wananchi.
SUA yaanza Maandalizi ya utafiti wa Mpunga Himilivu kwa mabadiliko ya
tabianchi na rafiki kwa mazingira Africa.
-
Na: Calvin Gwabara – Morogoro Tanzania.
Mradi wa Mpunga Himilivu kwa mabadiliko ya Tabianchi na Rafiki kwa
Mazingira Barani Afrika (Climate-resilient an...
6 minutes ago
0 Comments