WAZIRI wa Wizara ya Kazi, Uwezeshaji, Wazee, Vijana,
Wanawake na Watoto Zanzibar, Mhe:Maudline Cyrus Castico, akiangalia mabilingani
yaliyolimwa na wanakikundi cha Vijana wa Utandawazi Chokocho, wakati alipofanya
ziara ya kutembelea kikundi hicho kwenye ziara yake ya Siku mbili Kisiwani
Pemba.(Picha na Abdi Suleiman, PEMBA.)
BAADA YA SADC KUITAJA TANZANIA KINARA WA NISHATI SAFI YA KUPIKIA; KAMISHNA
LUOGA ATAKA WATUMISHI KUKUZA MATUMIZI YA NISHATI HIYO
-
Kamishna wa Umeme na Nishati Jadidifu, Mhandisi Innocent Luoga amewataka
Watumishi wa Wizara ya Nishati kuendelea kukuza matumizi ya nishati safi ya
kupik...
3 minutes ago
0 Comments