Kijana huyu anayejulikana kwa jina ka Bakari Abdalla ambaye yuko Nchini Oman anafanya kazi kwa sasa amepata ajali ya kuunguzwa kwa moto wa gesi akiwa katika kazi na sasa yuko katika hospitali nchini humo kwa mujibu wa taarifa tulioyoipata ameathirika na ajali hiyo ya moto wa gesi na yuko katika chumba cha ICU akiendelea kupata matibabu.
BoT YASHIRIKISHA WADAU MPANGO WA KUANZISHA KAMPUNI YA UDHAMINI WA MIKOPO
-
Benki Kuu ya Tanzania (BoT), ikiongozwa na Naibu Gavana wa Sera za Uchumi
na Fedha, Dkt. Yamungu Kayandabila, imefanya kikao na wadau mbalimbali
kujadilian...
1 hour ago

0 Comments