Wananchi wakiangalia samaki aina ya Papa akitengenezwa katika Marikiti Kuu ya Darajani baada ya kufikishwa hapo kwa ajili ya kupigwa mnada kwa Wachuu, Samaki huyu amevuliwa katika bahari ya Kizimkazi Zanzibar.
DC MSANDO AAGIZA KUFUFULIWA VISIMA VINNE MBURAHATI, HUDUMA YA MAJI KUREJEA
-
Mkuu wa Wilaya ya Ubungo (DC), Mheshimiwa Abert Msando ametembelea na
kukagua hali ya huduma ya upatikanaji maji kata ya Mburahati wilayani humo
huku akito...
9 hours ago
0 Comments