Mwenyekiti wa Umoja wa Watu wa Tanga Zanzibar akizungumza wakati wa mkutano Mkuu wa Umoja huo uliofanyika katika ukumbi wa Studio ya Sanaa Rahaleo Zanzibar. akizungumzia maendeleo ya Umoja huo kwa Wanachama wake kwa kutoa taarifa ya mwaka.
Mradi wa CookFund unaofadhiliwa na Umoja wa Ulaya (EU) na kutekelezwa na
UNCDF waleta Mageuzi ya matumizi ya Nishati katika taasisi za umma.
-
Dar es Salaam, Tanzania
Zaidi ya wanafunzi 62,000 kote Tanzania sasa wananufaika na majiko salama
na safi zaidi kufuatia usakinishaji wa zaidi ya majiko...
29 minutes ago
0 Comments