Meli ya Mizigo kutoka Nje ikiwa na Shehena ya Makontena ya Wafanyabiashara wa Zanzibar ikifunga gati katika bandari hiyo kwa ajili ya kushusha mizigo hiyo kwa mahitaji ya Wananchi wa Zanzibar. Kama inavyoonekana pichani ikifunga gati katika bandari hiyo.
Watu 600 kushiriki semina ya AAT Moro
-
Na MWANDISHI WETU
ZAIDI ya washiriki 600 kutoka ndani na nje ya nchi wanataraji kushiriki
semina maalumu ya uendeleaji na upangaji wa miji inayo kua.
Semi...
1 hour ago
0 Comments