Ujengi wa Barabara mpya ya fuoni ukiwa umekamilika ujenzi wake uliojengwa na Kampuni ya MECCO Tanzania na kuaza kutowa huduma kwa wananchi wa Zanzibar kwa wanaotumia barabara hiyo kuelekea maeneo ya Mkoa wa Kusini Unguja kama inavyoonekana picha ikiwa katika hali ya kisasa.
STAMICO YAGUSA MIOYO YA WATOTO YATIMA, YATOA MSAADA KUELEKEA SIKUKUU YA IDD
-
Katika kuendeleza dhamira ya uwajibikaji kwa jamii, Shirika la Madini la
Taifa (STAMICO) limetembelea Kituo cha Watoto Yatima cha Umra Orphanage
jijini Dar...
4 hours ago
0 Comments