Mkurugenzi wa Uchaguzi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) Bw. Kailima Ramadhan
(katikati) akitoa ufafanuzi kwa Wajumbe wa Tume na Sekretarieti ya Tume wakati
wa kikao cha Usaili wa nafasi ya Mratibu na Msimamizi wa Uchaguzi mdogo katika jimbo la
Dimani Zanzibar. Kushoto ni Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi, Jaji
Mstaafu Damiani Lubuva na Kulia ni Mjumbe wa Tume Mhe. Mchanga Mjata.
MIKOKO YAPEWA KIPAUMBELE KITAIFA
-
-Waziri: Hekta 158,000 za hifadhi zilindwe, ziwe ngao ya mabadiliko ya
tabianchi
Na Mwandishi Wetu, Lindi
WAZIRI wa Maliasili na Utalii, Mhe Dkt. Ashatu ...
3 minutes ago



0 Comments