Beki wa Timu ya Zimamoto mwenye jezi ya njano Suleiman Sheha na Mshambuliaji wa Timu ya Azam Yahya Mohammed wakiwania mpira wakati wa mchezo wao wa michuano ya Kombe la Mapinduzi Kundi B, wakiwania mpira. Katika mchezo huo Timu ya Azam imeshinda kwa bao moja lililofungwa na mshambuliaji Shabani Iddi katika dakika ya 79 ya kipindi cha pili baada ya kumpiga kazu kipa wa timu ya Zimamoto Hassan Jumanne.
Benki ya Stanbic yatoa zawadi za msimu wa sikukuu kupitia Kampeni ya Masta
wa Miamala
-
Benki ya Stanbic Tanzania imetoa zawadi za msimu wa sikukuu kupitia kampeni
inayoendelea ya Masta wa Miamala.
Akizungumza kwenye hafla hiyo iliyoambatana ...
8 hours ago
0 Comments