Msanii kutoka Nchi Somaliland Sahra Halgan Trio akitowa burudani ya muziki wa Kisomali katika viwanja vya bustani ya Forodhani Zanzibar wakishiriki katika Tamasha la Busara Zanzibar linaloendela katika viwanja hiyo na vya Mambo Club Ngome Kongwe Zanzibar kwa kuwashirikisha wasanii 400 kutoka katika Nchi za Afrika.
EWURA YATOA ELIMU YA UVUNAJI WA MAJI YA MVUA KWA WENYE ULEMAVU SINGIDA
-
*Mhandisi wa Maji na Usafi wa Mazingira wa EWURA Kanda ya Kati, Saidi
Mwangalo,akiwasilisha mada kuhusu uvunaji na uhifadhi wa maji ya mvua kwa
wadau mba...
7 minutes ago
0 Comments