Wananchi katika Mtaa wa Kwahani wakiangalia nyumba iliyoteketea kwa moto uliotokea jana usiku katika majira ya saa 2 usiku na kuteketeza vitu vyote viliokuwa katika Nyumba hiyo hakuna kitu kilichoweza kuokolewa katika ajali hiyo ya moto na Kunusuru wakazi wake na hakuna Mtu aliyejeruhiwa.
DC MSANDO AAGIZA KUFUFULIWA VISIMA VINNE MBURAHATI, HUDUMA YA MAJI KUREJEA
-
Mkuu wa Wilaya ya Ubungo (DC), Mheshimiwa Abert Msando ametembelea na
kukagua hali ya huduma ya upatikanaji maji kata ya Mburahati wilayani humo
huku akito...
9 hours ago
0 Comments