Mgeni Rasmin katika mchezo wa Bonaza la kuadhimisha miaka 40 ya kuzaliwa kwa Chama cha Mapinduzi Waziri wa Habari Utalii Utamaduni na Michezo Zanzibar Mhe Rashid Ali Juma akimkabodho Kombe la Ushindi wa Bonaza hilo Nahodha wa Timu ya CCM Zanzibar Suleiman Haroub Bapee baada ya kuifunda Timu ya Wasanii wa Zenj Flava kwa penenti 3-1 mchezo uliofanyika Uwanja wa Amaan baada ya kutoka sare ya bao 1-1.
ADEM YAKUTANA NA WADAU WA KIMATAIFA KUIMARISHA UONGOZI WA SHULE ZA SEKONDARI
-
Wakala wa Maendeleo ya Uongozi wa Elimu (ADEM) leo imepokea ujumbe wa wadau
wa maendeleo kutoka taasisi mbalimbali ikiwemo Mastercard Foundation,
Education...
7 hours ago
0 Comments