Wanafunzi wa Skuli ya Sekondari ya Wanawake Ben Bella wakifuatilia matokeo ya mitihani ya wanafunzi wa kidatu cha nne yaliobandikwa katika ubao wa matangazo skulini hapo. Baada ya kutangazwa matokeo hiyo na Baraza la Mitihani la Taifa juzi.
WAZIRI MKUU AONGOZA KIKAO CHA KUJADILI MAPENDEKEZO YA YA KUFANYA MABORESHO
YA SHERIA YA MAPATO YA BAADHI TA MIFUKO
-
Waziri Mkuu, Dkt. Mwigulu Nchemba leo Machi 11, 2026 ameongoza Kikao cha
kujadili Mapendekezo ya kufanya Maboresho ya Sheria ya Mapato ya baadhi ya
Mifuko ...
57 minutes ago
0 Comments