Wanafunzi wa Skuli ya Sekondari ya Wanawake Ben Bella wakifuatilia matokeo ya mitihani ya wanafunzi wa kidatu cha nne yaliobandikwa katika ubao wa matangazo skulini hapo. Baada ya kutangazwa matokeo hiyo na Baraza la Mitihani la Taifa juzi.
Teknolojia : Serikali Yaombwa Kutazama Upya Ghrama za Usajili na Kodi kwa
Vyombo vya Habari vya Mtandaoni
-
Serikali imeombwa kupunguza gharama za usajili wa vyombo vya habari
mtandaoni (Online Media) ili kutoa fursa kwa vijana wengi zaidi kujiajiri.
Ombi hil...
3 hours ago
0 Comments