Wafanyakazi wa utunzaji wa bustani baraza la manispa ya Zanzibar wakiimarisha zoezi la uboreshaji wa mazingira ya bustani ya barabara ya Michenzani zanzibar kuiweka katika hali ya kupendezesha barabara hiyo.
KAMPASI YA TPSC TABORA YATOA MISAADA NA KUFANYA USAFI - KITUO CHA WAZEE
IPULI-TABORA
-
Tarehe 21 Februari 2026,
Katika kuelekea kilele cha maadhimisho ya miaka 25 ya Chuo cha Utumishi wa
Umma Tanzania (TPSC), Kampasi ya Tabora imefanya zia...
2 hours ago
0 Comments