Mradi wa Ujenzi wa Mitaro ya maji machafu katika maeneo mbalimbali ya Mji wa Zanzibar ukiendelea na ujenzi huo katika maeneo ni kero kwa wananchi wakati wa mvua za masika hujaa maji na kulazimika wananchi wa maeneo hayo kuhama katika maeneo yao kwa kujaa kwa maji.Kama inavyoonekana picha mafundi wa kampuni inayosimamia mradi huo wakiendelea na ujenzi wa mtaro huo katika eneo la Jang'ombe Unguja.
TASAC YANUNUA BOTI MBILI ZA UTAFUTAJI NA UKOAJI TANGA NA KIGOMA
-
Kaimu Meneja wa Usajili na Ukaguzi wa Shirika la Uwakala wa Meli Tanzania
(TASAC) Mhandisi Said Kaheneko akizungumza na Waandishi wa Habari kuhusiana
na u...
3 hours ago
0 Comments