Mradi wa Ujenzi wa Mitaro ya maji machafu katika maeneo mbalimbali ya Mji wa Zanzibar ukiendelea na ujenzi huo katika maeneo ni kero kwa wananchi wakati wa mvua za masika hujaa maji na kulazimika wananchi wa maeneo hayo kuhama katika maeneo yao kwa kujaa kwa maji.Kama inavyoonekana picha mafundi wa kampuni inayosimamia mradi huo wakiendelea na ujenzi wa mtaro huo katika eneo la Jang'ombe Unguja.
KAMPASI YA TPSC TABORA YATOA MISAADA NA KUFANYA USAFI - KITUO CHA WAZEE
IPULI-TABORA
-
Tarehe 21 Februari 2026,
Katika kuelekea kilele cha maadhimisho ya miaka 25 ya Chuo cha Utumishi wa
Umma Tanzania (TPSC), Kampasi ya Tabora imefanya zia...
6 hours ago
0 Comments