Mwenyekiti wa Kamati ya Amani ya Viongozi wa Dini Zanzibar Sheikh Salim Mohammed akizungumza na waandishi wa habari jinsi mmomonyoko wa maadili wakati wa mkutano huo uliofanyika katika ukumbi wa hoteli ya Mazsons Shangani Zanzibar
Viongozi wa Kamati hiyo wakifuatilia mkutano huo kuzungumzia kuzungumzia hali ya mmomonyoko wa maadili kwa vijana
Askofu wa Kanisa la Anglikana Mkunazini Zanzibar Askofu Micheal Hafidh akisisitija jambo wakati wa mkuta kuzungumzia maadili kwa vijana. Uliofanyika katika ukumbi wa hoteli ya Mazsons shangani Zanzibar.
DC NYAMWESE AHIMIZA UMOJA NA MSHIKAMANO WANANCHI WA HANDENI
-
*Na Mwandishi Wetu*
*Mkuu wa Wilaya ya Handeni, Mhe. Salum Nyamwese, amewahimiza wananchi wa
wilaya hiyo kuendelea kudumisha umoja, mshikamano na utamad...
23 minutes ago
0 Comments