Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Katiba Sheria Utumishi wa Umma na Utawala Bora Zanzibar Mh. Haroun Ali Suleiman akitowa taarifa ya utekelezaji wa Wizara yake wakati wa mkutano wake na waandishi wa habari wa vyombo mbalimbali vya Zanzibar,mkutano huo umefanyika katika ukumbi wa wizara hiyo mazizini Zanzibar.
Rais Dkt. Samia Afuturisha Viongozi pamoja na Makundi mbalimbali,
Chakechake Mkoa wa Kusini Pemba
-
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu
Hassan akijumuika na Wananchi wa Chakechake, Mkoa wa Kusini Pemba kwenye
Futari aliy...
3 hours ago






0 Comments