Wachuuzi wa Samaki katika marikiti Kuu ya Darajani Zanzibar akiwa na samaki aina ya jodari wakijiandaa kumpima kuweza kujuwa uzito wake na kupata uzito wake na kupata uzito wake akiwa na kilo 39, katika mnada huo kilo moja ya samaki huyo imeuzwa shilingi 9000/= kwa kilo moja kwa wachuuzi wadigo katika marikiti hiyo ya samaki na kipande kimoja kiliuzwa kuazia shilingi 2000/=
Mfumo Mpya wa Kodi Kuleta Mapinduzi Makubwa ya Ukusanyaji wa Mapato Nchini.
-
Na Mwandishi Wetu
Hatua kubwa ya mageuzi ya kodi nchini imefikiwa kufuatia tangazo la kuanza
kutumika kwa mfumo mpya wa ukusanyaji wa kodi za ndani, hatua...
8 hours ago
1 Comments
Jamaniii eeenh samaki wasiekwe Chini.
ReplyDelete