Rais John Magufuli akimkabidhi Tuzo ya ushindi wa kipengele cha
mawasiliano ya Maonesho ya 41 ya Biashara ya Kimataifa sabasaba 2017 kwa
Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Tigo Tanzania, Simon Karikari, jijini Dar Es
Salaam jana. Kulia ni Waziri wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji, Charles
Mwijage. (Na Mpiga Picha Wetu).
WANANCHI WA MOHORO WAMSHUKURU RAIS SAMIA
-
-Mhe. Mchengerwa afuturisha, Mohoro, Chumbi,Mbwala na Shela
-Maelfu ya wananchi washiriki futari, wamsifu Mchengerwa
Na Yohana Kidaga- Mohoro
Wananchi w...
1 hour ago
0 Comments