Rais John Magufuli akimkabidhi Tuzo ya ushindi wa kipengele cha
mawasiliano ya Maonesho ya 41 ya Biashara ya Kimataifa sabasaba 2017 kwa
Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Tigo Tanzania, Simon Karikari, jijini Dar Es
Salaam jana. Kulia ni Waziri wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji, Charles
Mwijage. (Na Mpiga Picha Wetu).
Jamii Yaaswa Kufuatilia na Kuchangamkia Fursa za Maendeleo Zinazotolewa na
Serikali
-
Na Avila Kakingo, Michuzi Tv
JAMII imetakiwa kuwa mstari wa mbele katika kufuatilia, kutambua na
kuchangamkia fursa mbalimbali za maendeleo zinazotolewa n...
7 hours ago
0 Comments