Mwananchi wa Kijiji cha Mwera kiongoni akitandaza kifusi katika barabara yao ya ndani kama alivyokutwa na kamera yetu akiwa katika kazi hiyo, kipindi cha mvua za masika barabara nyingi zimeharibika kwa kuchimbika na kuwa katika hali ya kuharibika kwa mashimo kuwa mengi.
Jamii Yaaswa Kufuatilia na Kuchangamkia Fursa za Maendeleo Zinazotolewa na
Serikali
-
Na Avila Kakingo, Michuzi Tv
JAMII imetakiwa kuwa mstari wa mbele katika kufuatilia, kutambua na
kuchangamkia fursa mbalimbali za maendeleo zinazotolewa n...
7 hours ago
1 Comments
Miundombinu ya barabara kijijini Mwera inahitajika kwa sababu ya kuharibiwa vibaya na mvua.Mazao hayawezi kufika sokoni kwa wakati unaohitajika. Mbali na hayo, vifusi vilivyotapakaa barabarani vinakuwa kikwazo kikubwa kwa magari kupita.
ReplyDelete