Mwananchi wa Kijiji cha Mwera kiongoni akitandaza kifusi katika barabara yao ya ndani kama alivyokutwa na kamera yetu akiwa katika kazi hiyo, kipindi cha mvua za masika barabara nyingi zimeharibika kwa kuchimbika na kuwa katika hali ya kuharibika kwa mashimo kuwa mengi.
MEYA KIBAHA KUTOA ZAIDI YA MILION 18 KUCHIMBA VISIMA VINNE KUPUNGUZA KERO
YA MAJI PANGANI
-
Na Mwamvua Mwinyi, Kibaha Disemba 22, 2025
Baadhi ya wananchi wa Mtaa wa Kidimu, Kata ya Pangani, Halmashauri ya
Manispaa ya Kibaha wanakabiliwa na uhaba...
1 hour ago
1 Comments
Miundombinu ya barabara kijijini Mwera inahitajika kwa sababu ya kuharibiwa vibaya na mvua.Mazao hayawezi kufika sokoni kwa wakati unaohitajika. Mbali na hayo, vifusi vilivyotapakaa barabarani vinakuwa kikwazo kikubwa kwa magari kupita.
ReplyDelete