GARI aina ya Nooha yenye namba za Usajili Z890EP, ambayo ilimshinda dereva na kutumbukia Bondeni, katika eneo la kona Kiyuni Wilaya ya Mkoani, ikinyanyuliwa juu na Kirini baada ya kupata ajali na kuingia bondeni kukiripotiwa hakuna mtu aliyepoteza maisha.(Picha na Abdi Suleiman - Pemba)
NCHIMBI AKISALIMIANA NA BABA MTAKATIFU BAADA YA IBADA YA HIJA VATICAN
-
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Balozi Dkt.
Emmanuel Nchimbi, akisalimiana na Kiongozi Mkuu wa Kanisa Katoliki Duniani,
B...
9 hours ago

0 Comments