GARI aina ya Nooha yenye namba za Usajili Z890EP, ambayo ilimshinda dereva na kutumbukia Bondeni, katika eneo la kona Kiyuni Wilaya ya Mkoani, ikinyanyuliwa juu na Kirini baada ya kupata ajali na kuingia bondeni kukiripotiwa hakuna mtu aliyepoteza maisha.(Picha na Abdi Suleiman - Pemba)
WANANCHI KIJIJI CHA LAJA WILAYANI KARATU WAISHUKURU TASAF UJENZI SEKONDARI
MPYA
-
Na Said Mwishehe,Michuzi TV-Karatu
WANANCHI Kijiji cha Laja katika Halmashauri ya Wilaya ya Karatu mkoani
Arusha wameishukuru TASAF kukubali Mradi wa kupu...
1 hour ago

0 Comments