Mkuu wa Mkoa wa Mjini Magharibi Unguja Mhe Ayoub Mohammed Mahmoud akionesha picha zilizotolewa zawadi kwa Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Ali Mohamed Shein, baada ya kumaliza ziara yake katika Mkoa huo wakati wa Mkutano wac majumuisho ya ziiara yake yaliofanyika katika ukumbi wa zamani Baraza la Wawakilishi Kikwajuni Zanzibar.
Meridian Panda Deluxe Na Mizunguko Iliyobeba Thamani
-
MERIDIAN Panda Deluxe inaleta sura mpya ya burudani ya sloti kwa mtazamo
tofauti kabisa. Badala ya kelele nyingi na michoro tata, mchezo huu
unachagua ur...
1 hour ago
0 Comments