Kijiko cha Baraza la Manispa Zanzibar kikiwa katika zoezi la kusafisha eneo la kijangwani Unguja ambalo linalotaka kujengwa kituo kikuu cha daladala kuishia hapo ili kupunguza msongamano wa magari katika eneo la mji mkongwe.
TANESCO YAHAMASISHA MATUMIZI YA NISHATI SAFI YA KUPIKIA RUVUMA
-
Afisa Uhusiano na Huduma kwa Wateja wa Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO)
Mkoa wa Ruvuma, Alan Njiro amewahimiza wananchi kujikita katika matumizi ya
ni...
13 minutes ago
0 Comments