Kijana akiwa katika kazi yake ya uchoraji katika mitaa ya mji mkongwe Zanzibar eneo la hurumzi,katika mitaa hiyo inayotembelewa na wageni wengi kujionea maajabu na historia ya Zanzibar katika majengo yake na maarufu kwa biashara za kitalii.
DKT. MWIGULU AHANI MSIBA WA IDRISSA ZUBEIR.
-
-Pia awasilisha Salamu za Pole za Rais Dkt. Samia kwa waliofariki kwenye
Machimbo, Korogwe.
Waziri Mkuu, Dkt. Mwigulu Nchemba amehani msiba wa Idrissa Zube...
1 minute ago

0 Comments