Mafundi wa Mradi wa ufungaji wa Camera za CCTV katika mitaa mbalimbali katika Mji Mkongwe wa Zanzibar wakiendelea na zoezi hilo la ufungaji wa camera hizo katika moja ya mtaa wa mji mkongwe shangani Unguja kama walivyokutwa katika mtaa huo wakiwa katika harakati za ufungaji wake ili kuimarisha hali ya mazingira ya usalama katika mitaa hiyo.
TASAF YAJIVUNIA MAFANIKIO YALIYOPATIKANA KUPITA MRADI WA KUPUNGUZA
UMASIKINI AWAMU YA NNE
-
Na Said Mwishehe,Michuzi TV -Karatu
MKURUGENZI Mtendaji wa Mfuko wa Maendeleo ya Jamii(TASAF) Shedrack Mziray
ametoa taarifa ya mafanikio ya Mradi wa Kupun...
1 hour ago


0 Comments