Katibu Mtendaji wa Kamisheni ya Kiswahili Jumuiya ya Afrika Mashariki Profesa Kenneth Simala akizungumza wakati wa hafla ya chakula cha usiku baada ya kumalizika Kongamano la Kiswahili la Kimataifa lililofanyika Zanzibar katika hoteli ya Golden Tulip Malindi Zanzibar na kushirikisha Wadau mbalimbali wa Kiswahili kutoka Nchi za Afrika Mashariki na Nje walihudhuria Kongamano hilo. Hafla hiyo ya Chakula cha usiku na Taraan ya Kikundi cha Rahatul Zamani ilifanyika katika ukumbi wa Wizara ya Habari Kikwajuni Zanzibar.
WANAWAKE SF GROUP WATUMIA MAADHIMISHO YA SIKU YA MWANAMKE KUTOA MISAADA
KIBAHA
-
VICTOR MASANGU,KIBAHA
Wafanyakazi wanawake wa kampuni ya SF group ya Jijini Dar es Salaam katika
kuadhimisha maadhimisho ya siku ya mwananke duniani wameam...
2 hours ago
0 Comments