Uwanja wa Mpira wa Gombani Kisiwani Pemba ukioneka ukipendeza baada ya kufanyiwa ukarabati mkubwa wa majengo hayo kwa kuweka rangi na uwanja wa mpira kuweka nyasi za kisasa na njia ya kukimbilia kukarabatiwa na kuwa na kiwango cha Kimataifa katika Uwanja huo.
MNZAVA AWASIHI MADIWANI NA WENYEVITI WA VIJIJI KUSHIRIKIANA KUTATUA
MIGOGORO YA ARDHI
-
*Mbunge wa Jimbo la Korogwe Vijijini, Mhe. Timontheo Mnzava, amewataka
madiwani na wenyeviti wa vijiji kushirikiana kwa karibu katika kutatua
migogoro...
1 hour ago


0 Comments