Uwanja wa Mpira wa Gombani Kisiwani Pemba ukioneka ukipendeza baada ya kufanyiwa ukarabati mkubwa wa majengo hayo kwa kuweka rangi na uwanja wa mpira kuweka nyasi za kisasa na njia ya kukimbilia kukarabatiwa na kuwa na kiwango cha Kimataifa katika Uwanja huo.
STAMICO YAGUSA MIOYO YA WATOTO YATIMA, YATOA MSAADA KUELEKEA SIKUKUU YA IDD
-
Katika kuendeleza dhamira ya uwajibikaji kwa jamii, Shirika la Madini la
Taifa (STAMICO) limetembelea Kituo cha Watoto Yatima cha Umra Orphanage
jijini Dar...
8 hours ago


0 Comments