Gari aina ya saga mawe likiwa kazini kukamilisha uwekaji sawa kwa kushindilia kifusi katika eneo la kijangwani linalojengwa Kituo Kipya cha Daladala katika eneo hilo tayari kwa kiasi kikubwa yamekamilika kwa utiaji ya kifusi kwa awamu ya mwanzo ya ujenzi huo.
MAKAMU WA RAIS DKT NCHIMBI MGENI RASMI KILELE CHA MAADHIMISHO WIKI YA MAJI
MKOANI MOROGORO
-
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Balozi Dkt. Emmanuel
Nchimbi akisafiri kwa Treni ya Kisasa ya Umeme ya SGR kutoka Dar es Salaam
kue...
8 hours ago
0 Comments