GARI inayotumiwa
na Ofisi ya Mufti kisiwani Pemba, yenye namba za usajili SMZ 148 A, ikiwa mbele
ya ofisi hiyo, tayari imeshatiwa mnyororo wenye bati, lililotengenezwa mithili
ya msumeno, na mtendaji anaedhaniwa kuwa ni wa Baraza la Mji Chakechake, ambapo
kwa sasa limekua gumzo ndani ya mji wa huo na hasa kwa wale ambao ofisi zao ziko
pembezoni mwa barabara, (Picha na Haji
Nassor, Pemba).
EWURA YAFUTA LESENI YA IYAN ENERGY,YASITISHA YA CRESCENT ENERGY KWA MIEZI
SITA
-
*Na Mwandishi Wetu*
*Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA) imetangaza kufuta
leseni ya rejareja ya bidhaa za mafuta ya petroli ya k...
6 minutes ago
0 Comments