Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein, akimkabidhi Kombe la Ubingwa wa Michuanio ya Mapinduzi Cup 2018. Nahodha wa Timu ya Azam Himid Mao Mkami baada ya Timu yake kushinda katika mchezo wa Fainal ya michuano hiyo iliofika kilele usiku huo kwa kuifunga Timu ya URA kutoka Uganda kwa Penenti 4 -3. Na kukabidhiwa Kombe hilo kwa Mara ya Pili baada ya kulitetea vyema kwa mwaka huo.
TADB YASHIRIKI MAADHIMISHO YA WIKI YA HUDUMA ZA FEDHA KITAIFA
-
Maadhimisho ya Wiki ya Huduma za Fedha Kitaifa kwa mwaka 2026 yameanza
rasmi leo tarehe 19 Januari, 2026 katika Viwanja vya Usagara vilivyopo
jijini Tanga....
29 minutes ago
0 Comments