SHEHA wa Shehia ya Kisiwa ya Makoongwe Wilaya ya Mkoani , Silima Hija Hassan, akiwaonesha waandishi wa habari wa shirika la Magazeti ya Serikali Zanzibarleo Ofisi ya Pemba, Tuta la Mawe linalojengwa na Kaya masikini kwa lengo la kuzuwia kasi ya maji Chumvi kuingia katika mashamba yao.(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA)
TASAC YANUNUA BOTI MBILI ZA UTAFUTAJI NA UKOAJI TANGA NA KIGOMA
-
Kaimu Meneja wa Usajili na Ukaguzi wa Shirika la Uwakala wa Meli Tanzania
(TASAC) Mhandisi Said Kaheneko akizungumza na Waandishi wa Habari kuhusiana
na u...
2 hours ago
0 Comments