SHEHA wa Shehia ya Kisiwa ya Makoongwe Wilaya ya Mkoani , Silima Hija Hassan, akiwaonesha waandishi wa habari wa shirika la Magazeti ya Serikali Zanzibarleo Ofisi ya Pemba, Tuta la Mawe linalojengwa na Kaya masikini kwa lengo la kuzuwia kasi ya maji Chumvi kuingia katika mashamba yao.(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA)
Bi.Fauzia Malik na Bi.Angelic wateuliwa Bodi ya Wakurugenzi Equity Bank
Tanzania
-
Equity Bank Tanzania imewateua Bi. Malik na Bi. Tarimo kwenye Bodi ya
wakurugenzi na inatarajia kufaidika na ujuzi wao mkubwa huku Benki
ikiendelea kuimari...
1 hour ago
0 Comments